
Akiwa anajiandaa kutoa zawadi mpya kwa mashabiki wake katika kipindi
hiki cha Krismasi msanii Chegge Chigunda ameelezea kuwa muda si mrefu
anatarajia kuachia kichupa chake kipya kilichobatizwa jina 'Chapa
nyingine' wimbo ambao unatarajiwa kuachiwa wiki hii jijini Dar es
Salaam.
Meneja wa TMK, Said Fella amesema kuwa kichupa hicho kimeanza kufanyiwa kazi tangu wiki iliyopita ambapo ameelezea kuwa kama itafanyiwa uhariri mapema itakuwa ni zawadi tosha kwa mashabiki katika kipindi hiki cha shererhe za Krismasi.
Hadi hivi sasa wadau na mashabiki wanasubiri kuona kazi hiyo mpya inayofanyiwa kazi chini ya Director Adam Juma hivyo kaeni mkao wa kula wa kichupa hicho kipya kitakachoanza kusambazwa ndani ya wiki hii
Meneja wa TMK, Said Fella amesema kuwa kichupa hicho kimeanza kufanyiwa kazi tangu wiki iliyopita ambapo ameelezea kuwa kama itafanyiwa uhariri mapema itakuwa ni zawadi tosha kwa mashabiki katika kipindi hiki cha shererhe za Krismasi.
Hadi hivi sasa wadau na mashabiki wanasubiri kuona kazi hiyo mpya inayofanyiwa kazi chini ya Director Adam Juma hivyo kaeni mkao wa kula wa kichupa hicho kipya kitakachoanza kusambazwa ndani ya wiki hii
No comments:
Post a Comment