DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Friday, December 27, 2013

[Video] Na Hivi Ndivyo Rapper Joh Makini Alivyo Wapagawisha Mashabiki Wake …

joh 

Rapper anayefanya vizuri katika game ya Hip Hop hapa nchini kutoka Arusha, Joh Makini AKA Mwamba wa Kaskazini … Katika siku kuu ya Christmas rapper huyu alitoa burudani ya kutosha pale alipopanda katika ukumbi wa  wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala – Zakheem, jijini Dar es Salaam. Mwana Hip Hop huyo mwakilishi wa kundi la weusi alikuwa kivutio kikubwa katika shoo hiyo iliyohudhuriwa na mashabiki wa muziki wa kitanzania, Tazama hapa jinsi rapper huyo alivyo pagawisha mashabiki walio hudhuria katika ukumbi huo …

No comments: