DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Sunday, August 25, 2013

tamasha la serengeti fiesta 2013 likiendelea usiku huu ndani ya singida motel mkoani Singida.


 Wenywewe wanajiita Makomando,wakilishambulia jukwaani kwa pamoja usiku huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta 2013 likiendelea ndani ya Singida Motel.
Ni full kujiachia usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti fiesta 2013,wengine wakiwa juu ya miti aaahhh nomaa sanaaa.!
 Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Singida wakiwa wamejitokeza kwa wingi usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013 linalofanyika kwenye viwanja vya Singida Motel usiku huu.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Petter Msechu akiwaimbisha mashabiki wake waliojitokeza kwa wingi usiku huu kwenye tamasha la serengeti fiesta 2013 linaloendelea hivi sasa ndani ya Singida Motel.
 
 

No comments: