DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Saturday, September 21, 2013

BAADA YA KUFANYA POA KWENYE COLLABO NA BENPOL, ALICE ANAKUJA NA NGOMA YAKE.























Baada ya kufanya vyema katika truck ya Ben pol ‘Waubani’ Alice Kibopile aka Beautiful Alice, sasa anajiandaa kuachia ngoma yake.
Alice alifunguka na kusema “ Namshukuru sana Benpol kwa kugundua my talent pamoja na kuniamini na kunipa collabo nikiwa bado sijajulikana katika ramani ya muziki, na kwa sasa najiandaa kufanya wimbo wangu jina kapuuni na ntakuwa natumia style ya R&B.”

Pamoja na kutoa pongezi kwa Benpol, Beautiful Alicealitoa pongezi kwa fans wake walionza kumsapoti tangu alivyosikika katika ngoma ya Waubani.

No comments: