DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Wednesday, September 11, 2013

FFU Ughaibuni Wapongeza Bi.Hafsa Ngazinja ! Kuibua dhahabu ya Mzee Gurumo.

Bendi Maarufu ya Muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band,inampongeza mwanamuziki Bi.Hafsa kazinja  kuwa mwamuziki mfano wa kuigwa baadala ya mwanadada huyo kuingia Studio na kurekodi mmoja ya nyimbo ya NUTA kwa ajili ya kumuenzi Mkongwe wa muziki wa dansi ambeye amejiuzulu Mzee Muhidin Maalimu Gurumo.

Ngoma Africa band aka FFU ughaibuni wamemtaja mwanamuziki Bi.Hafsa Ngazinja kuwa ni moto wa kuotea mbali ,pia ni mfano kwa wengine,kwani mwanamuziki huyo amewashirikisha wakongwe  akina "Salvador" na Omary Mkali katika kurekodi Studio, wimbo huo "Nimuokoe Nani" ni sawa na dhahabu iliyoibuliwa upya.
Sikiliza wimbo huo kwa bonyeza link hii hapo chini.

No comments: