
“Kuanguka jukwaani ni ajali kama ajali zingine, isitoshe sikuanguka bali nilikaribia. Ila poleni kwa mlioumizwa na hicho kitendo…Nitapunguza urefu wa viatu siku nyingine”
Hivi ndivyo Lady Jay Dee alivyokuwa amevaa siku ya Kili Music Tour 2013 pale Leaders..

No comments:
Post a Comment