Mmoja
wa wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Baba Levo akiwaimbisha
wakazi wa Mtwara wimbo wake uitwao Polisi,kwenye tamasha la tamasha la
Serengeti Fiesta 2013,lililofanyika kmwisho mwa wikend ndani ya uwanja
wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara
Ni shangwe za kutosha ndani uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.
Msanii wa Muziki wa bongofleva katika miondoko ya hip hop,aitwaye Godzilla akishusha mistari yake live kwa mashabiki wake ndani ya tamasha la serengeti fiesta 2013,kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,mkoani Mtwara
Umati wa wakazi wa Mtwara ndani ya tamasha la Serengeti fiesta 2013 usiku huu
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Ommy Dimpoz akiwaimbisha wimbo wake wa Tupogo wakazi wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la serengeti fiesta mwishoni mwa wiki ,mkoani Mtwara.
Msanii wa Muziki wa bongofleva katika miondoko ya hip hop,aitwaye Godzilla akishusha mistari yake live kwa mashabiki wake ndani ya tamasha la serengeti fiesta 2013,kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,mkoani Mtwara
Umati wa wakazi wa Mtwara ndani ya tamasha la Serengeti fiesta 2013 usiku huu
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Ommy Dimpoz akiwaimbisha wimbo wake wa Tupogo wakazi wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la serengeti fiesta mwishoni mwa wiki ,mkoani Mtwara.
Mmoja
wa wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Baba Levo akiwaimbisha
wakazi wa Mtwara wimbo wake uitwao Polisi,mwishoni mwa wiki ndani ya
tamasha la Serengeti Fiesta 2013.
Msanii aliyeibuka kwa kasi hivi sasa katika muziki wa Bongofleva,aitwaye Snura akionesha staili ya Kuvurugwa jukwaani.
Baadhi
ya Wakazi wa mkoa wa Mtwara na vitongozji vyake wakiwa wamejitokeza kwa
wingi kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013,ndani ya uwanja wa
Nangwanda Sijaona mwishoni mwa wiki.
Anaitwa
Dj Mully B akionesha umahiri wake wa kukamua mangoma mbele ya maelfu ya
wakazi wa mji wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la
Serengeti Fiesta 2013 .
Mashabiki
wa tamasha la burudani la Serengeti Fiesta 2013 wakifuatilia kwa makini
yanayojiri kwenye tamasha hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya
uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara,ambapo wakazi wa mkoa huu kwa
mara ya kwanza walishuhudia live tamasha hili ambalo hufanyika mara
moja kwa mwaka.
Wakishangweka safi kabisa usiku huu.
Ni
burudani ya kutosha kabisa usiku huu ndani ya tamasha la serengeti
fiesta ambapo maelfu ya watu wamejitokeza kuburudika ndani ya uwanja wa
Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.
Snura na densas wake wakitumbuiza jukwaani
Anaitwa
Linah kutoka nyumba ya vipaji ya THT,akiimba jukwaani mbele ya umati wa
wakazi wa Mtwara waliojitokeza mwishoni mwa wiki kwenye tamasha la
Serengeti Fiesta 2013.
Kijana
mdogo,lakini anakuja kwa kasi kabisa katika anga ya muziki wa kizazi
kipya,hasa hip hop,aitwaye kwa jina la kisanii Young Killer kutoka
jijini Mwanza,akitumbuiza usiku huu mkoani Mtwara kwenye tamasha la
Serengeti fiesta 2013.
No comments:
Post a Comment