DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Friday, November 22, 2013

AY Afanikiwa Kurudisha Account Yake Ya Twitter Na Ya E-mail Baada Ya Kuwa Hacked

aa 
 Msanii mahiri wa miondoko ya rap nchini Tanzania AY, amefanikiwa kurudisha account yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter pamoja na E-mail yake baada ya wajanja wa internet kufanikiwa kuingia katika akaunti zake hizo siku ya tarehe 20 November na kujaribu kuzitumia kutafuta masilahi yao.



a 

 Lakini msanii AY kupitia msaada kutoka kwa manager wake wa Social Network, ambaye huwa anamanage na kucontral  akaunti za mtandao wa internet kwa ajili ya mawasiliano ya msanii AY, alifanikiwa kuzirudisha account zake hizo kutoka kwa hacker asiyejulikanika ambaye alibadilisha mpaka passwords za AY,  lakini kwa sasa akaunti hizo zisharudishwa mikononi mwa AY.

No comments: