DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Friday, November 1, 2013

Msanii Aliyewahi Kuibiwa Wimbo Wa “Follow Me” Na Rich Mavoko Apata Usimamizi Mpya

DSC_0125 copy 

Msanii chipukizi, Adam Mustafa AKA “Chismo” aliyewahi kusikika na scandal ya kuibiwa wimbo wake wa “Follow Me”  na Rich Mavoko ambao ulifanya vizuri sana, ameingia mkataba na kampuni ya Machapta Inc iliyopo Kinondoni Vijana kwa ajili ya usimamizi wa kazi zake za muziki kwa mkataba wa miaka mitatu.
Kwa sasa Chismo ameshasaini mkataba huo na yupo mbioni kukamilisha video yake ya kwanza na pia ameshaanza kurecord nyimbo katika studio tofauti tofauti za hapa nchini  akiwa chini ya kampuni hiyo.
DSC_0130 copy

 Kwa upande wake Chismo amfunguka na kusema “nilianza mziki  kama dansa na nilifanya kazi ya udansa kwa Bob Junior nikatoka nikaenda kwa Dully Sykes  na ndipo nikaamua kuungana na Baby J lakini ndoto yangu haikukamilika na kuna kipindi nilimuomba msaada Tunda Man na akanikubalia kwakua alikua anaona uwezo wangu ila muda ulivyo zidi kwenda ndio nikakutana na Rich Mavoco na nikafanya nae pia kazi lakini nikiwa nae mazoezini, nilikua naimba nyimbo yangu ya Folow me na yeye alikua anaipenda sana na akawa ananirekodi kumbe, mwezangu akaingia studio na kufanya kweli, Kote nilipopita huko ilikuwa kama sehemu yangu ya kujifunzia tu.

No comments: