DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Tuesday, July 8, 2014

IZZO BIZNECC KUACHIA NGOMA WIKI HII

izzo1 


Msanii Mkali anayewakilisha Mbeya City Izzo Bizness anatarajia kuachia ngoma This Week, Hapa Izzo anafunguka zaidi……
”Ni bonge la Ngoma ambayo ni kali sana ndani yake nimezungumzia walalahoi wenzangu; Hope Mashabiki wangu wataipenda na itakuwa Gumzo kitaa kwa sana coz inaelezea maisha ya watu wa kawaida sana, so Wiki hii ndo natarajia kuachia na kuitambulisha Rasmi, naomba Mashabiki wangu popote walipo waipokee kwa Mikono miwili coz mimi nakuja tofauti kidogo safari hii,ntagusa kila kona katika jamiin si zungumzii Mapenzi tu bali nagusa kila Kona na ninapenda kubadilika.


No comments: