DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Thursday, September 19, 2013

JAY MO AFANYA COLABO NA MSANII KUTOKA LA. CALIFORNIA (USA) …

jay mo 

 AY MOE msanii mkongwe hapa nchini ametoka kutengeneza jiwe jipya na msanii kutoka Los Angeles Califonia USA anaefahamika kwa jina la MATRE katika studio ya BONGO RECORDS chini ya mikono ya P FUNK Majani. Msanii huyo MATRE kutoka Los Angeles Califonia alikuja barani AFRICA kwa tour iliokua inaendelea nchini KENYA jijini Nairobi baada ya tour hiyo kumalizika ndipo akabahatika kufika nchini TANZANIA na kufanya kazi na msanii mkubwa wa hapa nchini JAY MOE ambae mika mingi sana anafanya kazi zake katika studio za Bongo Records TANZANIA. Huku ngoma ikiwa jikoni jitihada za kufanyia ngoma hiyo video zikaanza hapohapo kama unavyoona apo chini na ngoma hiyo ijulikanayo kama DAR TO L.A. Fans wa Jay Mo mbakiaji na Bongo Records kaeni mkao wa kula kwa kazi mpya toka kwa JAY MOE NA MATRE. 


DSCF0314 

 DSCF0309

No comments: