
Wajanja wote na wapenzi wa burudani jiji la Dar es Salaam
tunakutana kesho jumamosi pale Leaders Club ambapo tutafurahia pamoja
muziki wa kikwetu kwetu kwa Live Perfomances kutoka kwa wasanii Fid Q,
Roma, Izzo Business, Ney wa Mitego, Madee, Mzee Yusuph, Kalajeremiah,
Lady Jaydee, Linex, Ben Pol, Professa Jay, Joh Makini, Mashujaa Band na
Diamond.
Ni bonge moja la lineup ambalo mchongo wake unaanza jioni flani
hivi, unalipa mlangoni shilingi 2500, inafaidishwa na bia moja ya Buree
mlangoni, alafu unadondoshewa burudani ambayo utabaki unaisimulia kila
siku katika maisha yako.
No comments:
Post a Comment