DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Thursday, October 31, 2013

DAMIAN SOUL FT JOH MAKINI ~ NI PENZI (COMING SOON)



Damian Soul anatarajia kuachia ngoma yake mpya “ni penzi” akishirikiana na Joh Makini ambaye anatokea kwenye kundi la weusi. Hii ndio picha ambayo Damian ametumia kutambulisha ujio wa ngoma yake hiyo mpya ambayo Joh Makini naye amepata nafasi ya kuingiza mashairi yake

No comments: