Kwa sasa Nikizungumzia wanamziki wenye
kiwango cha hali ya juu ndani ya bara letu la Africa,siwezi acha kumweka kwenye top
ya juu kabisa mtu mzima Davido
uwezo wake unatambulika kila pembe ya ulimwengu wa Music..
na siku ya kesho yeye ni mmoja ya wasanii toka nje watakao
kiwango cha hali ya juu ndani ya bara letu la Africa,siwezi acha kumweka kwenye top
ya juu kabisa mtu mzima Davido
uwezo wake unatambulika kila pembe ya ulimwengu wa Music..
na siku ya kesho yeye ni mmoja ya wasanii toka nje watakao
sababisha kwenye stage kubwa kabisa ya Fiesta
na toto la kimanyema pamoja na wasanii wenzangu
wote wa nyumbani,tutazihilisha kuwa
Tanzania kuna wanamziki wa kweli......!!!!jichange sana..usipange kukosa
na toto la kimanyema pamoja na wasanii wenzangu
wote wa nyumbani,tutazihilisha kuwa
Tanzania kuna wanamziki wa kweli......!!!!jichange sana..usipange kukosa
No comments:
Post a Comment