DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Wednesday, October 30, 2013

MY NUMBER ONE REMIX INAKUJA KWA KASI, DIAMOND YUPO PANDE ZA NIGERIA


 

Baada Diamond Platinumz kupata chance ya kupiga show na msanii Davido kutoka Nigeria, sasa Diamond amehakikisha kwamba remix ya my number one haiwi ndoto. Diamond ameamua kumfwata Davido pande za Nigeria ili kwenda kufanya ngoma hiyo

No comments: