
Mzee Sykes amesema kuwa, kutokana na nafasi yake kama msanii hajaona sababu ya kujibadilisha na kujiweka katika muonekano na mavazi sawa sawa na umri wake kutonana na mapenzi makubwa aliyonayo katika swala zima la mitindo na kile alichokita yeye 'culture'.
Mzee huyu amesisitiza kuwa hana mpango wa kubadilika kwasababu yeye ni msanii wa muziki ambaye muziki na mitindo ipo katika damu yake.
No comments:
Post a Comment