Wakati mwingine natamani hata moyo
wangu ungefunguka japo kwa dakika tu!, mkatazama ni kias gani na appreciate, nafurahi na kushkukuru kwa upendo wenu kwangu...siku zote husema,
usipoweza kushkuru kwa kidogo hata ukipewa kikubwa huwezi kushkuru... na ndiomaana kila mnipacho sichoki
kuwashukuru.. napenda niwashukuru saana wanafunzi na wadogo zangu walioonyesha mapenzi ya hali ya juu,nikiwa ndani ya Mliman city Asanteni sana!
wangu ungefunguka japo kwa dakika tu!, mkatazama ni kias gani na appreciate, nafurahi na kushkukuru kwa upendo wenu kwangu...siku zote husema,
usipoweza kushkuru kwa kidogo hata ukipewa kikubwa huwezi kushkuru... na ndiomaana kila mnipacho sichoki
kuwashukuru.. napenda niwashukuru saana wanafunzi na wadogo zangu walioonyesha mapenzi ya hali ya juu,nikiwa ndani ya Mliman city Asanteni sana!
Kumbu kumbu ni mhimu!!na Halikuwa tatizo
kwao kutaka niandike sahihi yangu kwenye sare zao za shure
kwao kutaka niandike sahihi yangu kwenye sare zao za shure
these kids got love aisee,pamoja na kuwa
mda ulukuwa ushaenda san ,lakini bado hawakutaka kuwa mbali na president
mda ulukuwa ushaenda san ,lakini bado hawakutaka kuwa mbali na president
Zoezi la kutia sign likaendelea tena kwa wale waliokosa awali
No comments:
Post a Comment