
Baada ya kupata mkataba
mnono na kupewa gari aina ya Audi pamoja na Apartment kali ya kuishi
jijini Nairobi, Kenya kutoka kwa kampuni ya entertainment Candy and
Candy, msanii mahiri wa muziki kutoka Tanzania, Baby Madaha amepata tena
zawadi nyingine kutoka kwa CEO wa kampuni ya Candy and Candy, zawadi
hiyo ni utengezaji wa mifuko kwa ajili ya kubebea zawadi ambayo itakua
na picha zake (Baby Madaha)
Msanii huyo alifanyiwa party kwa ajili ya uzinduzi wa bidhaa hiyo ya mifuko ya kubebea zawadi.
Tazama picha za uzinduzi wa bidhaa hiyo ya mifuko kwa ajili ya kubebea zawadi hapa …
Msanii huyo alifanyiwa party kwa ajili ya uzinduzi wa bidhaa hiyo ya mifuko ya kubebea zawadi.
Tazama picha za uzinduzi wa bidhaa hiyo ya mifuko kwa ajili ya kubebea zawadi hapa …



No comments:
Post a Comment