DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Thursday, October 3, 2013

SKWADI ZIMA LA FIESTA 2013 LIKO NDANI YA JIJI LA TANGA,KESHO UWANJA WA MKWAKWANI KUWAKA MOTO NA MWANAMUZIKI KUTOKA NIGERIA,J-MARTIN

 Msanii mkongwe wa muziki wa bongofleva,Juma Nature akiwa amepozi na mwanadada Linah Sanga
 Na mie kushoto kiaina tuu tukishoo love ndani ya jiji la Tanga
 Mie,Mtangazaji wa Clouds Fm kupitia kipindi cha XXL B Dozen na Mzaramo wa Maneromango,Mr Misifa na mengineyo a.k.a Dullysykes tukiwa tumetulia tuu ndani nje ya kiota tulichofikia mjini Tanga

 
 
Habari hii kwa hisani michuzi junior  kwa zaidi bonyeza hapa
..............

No comments: