DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Thursday, November 21, 2013

BABU SEYA NA PAPI KOCHA WANAENDELEA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MAISHA

Mahakama ya rufaa imekataa kusikiliza kesi ya Babu Seya na Papi Kocha na kudai kwamba malalamiko yao hayana nguvu na kuladhimika washitakiwa hawa kuendelea kutumikia kifungo chao cha awali.

Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar ambapo wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.

No comments: