
Bebe Cool ameonekana hivi karibuni akiwa katika shughuli nzito ya kupakia mzigo wa simenti pamoja na maji safi ya kunywa kwa ajili ya msaada kwa wananchi huko Ntinda, wakati kwa upande wa pili Bobi Wine yeye amekuwa akikusanya misaada mbalimbali kutoka kwa makampuni kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa huko Kasese na Bududa.
Kwa mujibu wa wachambuzi wa mambo, moyo huu ambao wasanii hawa wameonyesha umekuwa ni wa kipekee na mfano mzuri wa kuigwa na watu wenye nafasi zao katika jamii, na si wasanii wa muziki tu.
No comments:
Post a Comment