
Wakati wa harusi ya Peter wa P Square ikiwa inaendelea, mwanamuziki
Diamond Platinumz alipata nafasi ya kucheza ngololo mbele Emmanuel
Adebayor huku wakionekana wa wanamshangilia kwa kumpigia makofi.
Kupita ukurasa wa Instagram wa diamond Platinumz aliandika maneno haya “I Had to show them how we do……… Last nyt out with ma Brother Emmanuel Adebayo @sea25 and Kukere Master @iyanya #Lagos #Nigeria” yakisindikizwa na hii picha
Kupita ukurasa wa Instagram wa diamond Platinumz aliandika maneno haya “I Had to show them how we do……… Last nyt out with ma Brother Emmanuel Adebayo @sea25 and Kukere Master @iyanya #Lagos #Nigeria” yakisindikizwa na hii picha
No comments:
Post a Comment