DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!
Monday, November 18, 2013
MCHIZI MOX KURUDI KWENYE GAME LA BONGO FLAVA
Mchizi Mox amepanga kurudi tena kwenye game la bongo flava. Kupitia ukurusa wa facebook wa EATV wanasema kwamba Mchizi Mox arudi rasmi kwenye ‘game’ na leo atakuwa ndani ya Hotmix kufunguka mengi kuhusu kumbukumbu ya Marehemu Albert Mangwair!
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment