Kanyagatwende ni nyimbo yenye maadhi ya kiafrica yaani ni mchanganyiko
wa bongo flavors kama style na kiasi kidogo mchanganyiko wa nyimbo za
Africa magharibi. Nyimbo inahusu shida ya usafiri wa mabasi(Daladala)
mahususi katika jiji la Dar es Salaam.
Ilitokea kupata wazo la kuandika nyimbo hii baada ya mimi mwenyewe kua na shuhudia ugumu wa hali ya juu wa usafiri katika jiji la Dar es Salaam.
Nashkuru sana.
Ilitokea kupata wazo la kuandika nyimbo hii baada ya mimi mwenyewe kua na shuhudia ugumu wa hali ya juu wa usafiri katika jiji la Dar es Salaam.
Nashkuru sana.

No comments:
Post a Comment