Mkali wa michano
nchini Tanzania anayetamba na ngoma “Salam Zao”, Ney Wa Mitego siku ya
Jumatano ya tarehe 20/11/2013 anaachia ngoma mpya iitwayo “Nakula
Ujana”.
Ngoma hiyo mpya anayotarajia kuiachia rapper Nay Wa Mitego, imefanyikia katika studio kali ya Master Jay Records (MJ Records) chini ya producer Marco Chali na producer Mr.T Touch, usikose kusikia ngoma hiyo mpya ambayo utaipata hapa hapa.
Ngoma hiyo mpya anayotarajia kuiachia rapper Nay Wa Mitego, imefanyikia katika studio kali ya Master Jay Records (MJ Records) chini ya producer Marco Chali na producer Mr.T Touch, usikose kusikia ngoma hiyo mpya ambayo utaipata hapa hapa.
No comments:
Post a Comment