
Mama Mzazi wa Sharo Milionea huwa anasema “anaumia sana anapomkumbuka mwanae, ni taarifa za ghafla alizipata usiku wa siku ya tukio akiwa amelala ambapo kwa asilimia zote alikua anamtegemea Sharo Milionea kumsaidia kimaisha”.
Rest In Peace Sharo Milionea…….
No comments:
Post a Comment