DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Friday, November 22, 2013

My #1 Ya Diamond Platnumz Yatinga TV Stations Za Kimataifa …

diamond 

 Finally ile ngoma iliyomgharimu mwanamuziki Diamond Platnumz mamilioni ya shilingi za kitanzania, imafanikiwa kuvuka boda ya Tanzania na kuanzia sasa video hiyo utaweza kuishuhudia kupitia station mbali mbali za nje za burudani.


sou 

 Video hiyo ambayo imekuwa ikifanya vyema sana katika vituo vya nyumbani Tanzania na kupendwa na watu wengi ni video ambayo kwa kweli imefanyika katika hadhi za juu na pia inavutia sana kuitizama.

tra 

Kuhusiana na video hiyo ya My #1, wananchi wengi wamekuwa wakijiuliza kwa nini video hiyo kali haionekani katika Television za burudani za kimataifa kutokana na kuwa na hadhi ya juu na vigezo vya kutosha kuonyeshwa kimataifa, bila shaka sasa jibu lishapatikana kwa sasa video hiyo ishaanza kuruka anga za nje na hivi karibuni ngoma hiyo ya My #1 imeonekana katika kituo cha television ya Trace na Sound City.
Kama hujapata time ya kutazama kichupa hicho, hiki hapa..My Numbe One





No comments: