DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Thursday, November 14, 2013

SNURA NA MRISHO NGASA WANAUHUSIANO KIMAPENZI?

 
































Mchezaji mpira maarufu wa timu ya Taifa Mrisho Ngasa amenaswa live akiwa na mwimbaji wa majanga “Snura Anton Mushi”. Bado haijajulikana wazi kama mastaa hao wawili wanauhusiano wa kimapenzi au labda wanaigiza movie pamoja?

Mastaa hao wawili walinaswa live wakiwa kwenye nyumba ya Snura Anton Mushi iliyopo Mwananyamala jijini Dar es Salaam.

No comments: