
Stara kupitia nafasi hii, pia ameweza ya kutumbuiza wimbo wa kuhamasisha uzazi wa mpango katika familia katika tukio kubwa la uzinduzi wa ripoti ya mwaka 2013 ya hali ya idadi ya watu duniani ambayo hutayarishwa na UNFPA, lililofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Tukio hili ni moja ya mchango mkubwa wa mwanamama Stara Kusaidia harakati za mfuko huu wa umoja wa kimataifa katika kupambana na tatizo la mimba za utotoni kwa wasichana hapa Tanzania.
No comments:
Post a Comment