
Mbali na ndugu, jamaa na marafiki, msiba huu umehudhuriwa na wadau mbalimbali wa muziki pamoja na wasanii ambao kila mmoja kwa nafasi yake ameonyesha kuguswa mno na kifo cha DJ huyo mahiri aliyejizolea sifa kemkem wakati wa uhai wake.
Marehemu DJ Rankim ameacha mtoto mmoja wa kiume pamoja na mke, nasi eNewz tunaomba Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahala pema peponi Aamin.
No comments:
Post a Comment