DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Saturday, January 4, 2014

Mo Racka Kuachia Ngoma Mpya Next Week

mo 
  Mo Racka & AY

Kwa wale wapenzi wa kazi za rapper Mo Racka, msanii huyu baada ya kimya cha karibia mwaka mzima wa 2013… rapper huyu ameamua kuuanza mwaka mpya na ngoma mpya ambayo anatarajia kuiachia rasmi tarehe 6 mwezi huu wa kwanza siku ya Jumatatu.

 Mo Racka amesema ngoma yake hiyo mpya ameipia tittle ya USISOGEE, ikiwa ni kazi iliyofanyikia katika studio yake iitwayo My Record, jijini Dar-Es-Salaam. Pia katika ngoma hiyo msanii huyu mahiri amesema utapata kusikia sauti za wasanii wengine wawili ambao amewashirikisha katika wimbo huo mpya.

No comments: