DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Saturday, January 4, 2014

Msanii Wa Kenya Jaguar Afanyia Video Yake Mpya Katika Magereza …

jagg 
 Msanii aliyoko juu na mwenye fedha nyingi nchini Kenya, hit make wa KIGEUGEU na KIPEPEO msanii Charles Njagua Kanyi AKA Jaguar yupo katika maandalizi ya kufyatua video mpya ya wimbo wake uitwao KIOO, ambapo wimbo huu ameufanhyia katika magereza ya viwanda/Industrial Prison nchini Kenya katika jiji la Nairobi.


jag 
 Jaguar akiwa amevalia gwanda za wafungwa

 Hivi karibuni msanii huyu iliripotiwa kuwa alitumia baadhi ya muda wake wa siku kuu mwaka jana kukaa, kuwasaidia na kusherekea na wafungwa katika magereza ya viwanda/Industrial Prison jijini Nairobi Kenya. Msanii huyu mwenye roho nzuri ya kusaidia Jamii, anatarajia kuachia video ya wimbo wake huo mpya wa KIOO siku ya jumatatu mwezi huu.

No comments: