DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Sunday, January 5, 2014

Nick Wa Pili Ataka Kuona Live Show Na Sio Playbacks …

ki 

Msanii mkali wa Hip Hop nchini Tanzania anayeliwakilsiha vizuri kundi la Weusi katika game ya Hip Hop hapa nchini, rapper Nick Wa Pili… anataka kuona mtazamao mpya katika sanaa ya music, haswa katika upande wa live show perfomance wakati msanii anapo panda jukwaani na kutoa burudani ya ukweli bila kutumia wimbo wake ambao unaimba kwa nyuma na yeye anaufuatisha maarufu kama backrgound plays au playbacks.
Msanii huyu kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter, alipost maneno yaliyo onyesha kuwa msanii huyu amechoshwa na kukerwa na style hiyo ya playback ambayo wasanii wetu wa hapa wengi hupenda kuitumia. “Hope 2014 ntaona live show bongo..2013…80% ya artist were on playback..wak staff.” Hayo ndiyo maneno aliyoyatoa msanii huyu wa Hip Hop nchini.

 ni

No comments: