DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Wednesday, January 29, 2014

PICHA: AJALI YA GARI ILIYOHARIBU STUDIO YA DUPY IITWAYO UPRISE MUSIC


Producer DUPPY kutoka Studio za UPRICE MUSIC amepata ajali akiwa chumbani kwake amelala baada ya gari kugonga studio ya Uprise Music na chumba cha producer huyo anayefanya vema katika gemu la muziki.

Katika kumjulia hali Producer DUPPY alikuwa na haya ya kusema “Shukrani sana mzee ni maumivu tu ya kichwa na mkono kwa mbali”.
Naye mmoja wa wasanii waliopo lebel katika studio hiyo LEO MYSTERIO, Je, anaizungumziaje ajali hiyo? “Tushapoa kaka vifaa vichache vimeharibika bado kufanya tathmini vizuri”


 


 


No comments: