
Wasanii wa muziki kutoka Jijini Arusha, leo hii wameonyesha umoja na
sapoti ya kutosha kwa msanii mwenzao Gentriez Mwakitabu katika maziko ya
mama yake mzazi aliyefariki juzi kwa ugonjwa wa moyo.
Miongoni mwa umati mkubwa uliohudhuria msiba huu huko Sinoni Daraja Mbili Arusha, ni pamoja na rapa Joh Makini, Kundi la muziki la Jambo Squad, Mtayarishaji muziki mahiri John B kutoka Grandmasters na wengine wengi.
DJ-BOSTON BLOG inamtakia msanii huyu faraja na utulivu katika kipindi hiki kigumu anachopitia na Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya mama Gentriez. Aamin.
Miongoni mwa umati mkubwa uliohudhuria msiba huu huko Sinoni Daraja Mbili Arusha, ni pamoja na rapa Joh Makini, Kundi la muziki la Jambo Squad, Mtayarishaji muziki mahiri John B kutoka Grandmasters na wengine wengi.
DJ-BOSTON BLOG inamtakia msanii huyu faraja na utulivu katika kipindi hiki kigumu anachopitia na Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya mama Gentriez. Aamin.
No comments:
Post a Comment