DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Sunday, May 4, 2014

“KILI MUSIC AWARDS WAMEFANYA KWELI”

_MG_0527
 
Msanii wa Hip Hop Farid Kubanda aka Fid Q baada ya kusotea sana tuzo za kili Music kwa muda mrefu bila kukata tamaa, siku ya jana kwenye tuzo hizo zinazofanyika kila mwaka ameweza kujinyakulia tuzo mbili kama ‘mtunzi bora wa Hip Hop na Msanii bora wa Hip Hop 2014, lakini Fid Q baada ya kuchukua tuzo hizo alifunguka na kusema “Kili Music Awards kwa sasa mmefanya kweli na washukuru sana asanteni sana.”
 
 

No comments: