DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Sunday, June 1, 2014

SHILOLE AKAE CHONJO NA SIFA ZA MASHABIKI

 Shilole ft.Rich Mavoko_ kitokololo - viuno tucheze_11

Msanii wa muziki wa Mduara Tzee Zuwena Mohamed
aka Shilole aka ‘Shishi Baby
‘ ni Mdada anaye jituma sana kwenye Muziki wake,kwa kuimba vizuri,kutenda haki akiwa kwenye stage.
Mbali na kuwa katika level nzuri alionayo kupitia jasho lake kwa Muziki, pia mashabiki wamemtaka ‘Shishi’ kuto lizikika na misifa wanayo mwagia kila wakati kwa madai ya kuwa juhudi za shilole zinawatia moyo fans,
Hata hivyo baadhi ya mashaiki wake wamesema kuwa “Sifa zikimpa kiwewe shilole, inaweza kuwa ndio mwanzo wa kushuka, kimuziki hivyo juhudi zaidi ndio kitu fans wake tunakitaka”.

No comments: