DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Sunday, March 23, 2014

HARUSI YA KIMILA YA PETER OKOYE WA P SQUARE YAFANYIKA JANA NA KURUSHWA LIVE DSTV































Zikiwa zimepita siku chache tangu Peter Okoye mmoja wa wasanii mapacha wanaounda kundi la P-Square kufunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi. ..Jana (march 22) ilikuwa big day kwa star wa kundi la P-Square Paul Okoye na mpenzi wake wa miaka kumi Anita Isama, waliofanikisha harusi yao ya kimila iliyofanyika katika mji wa Port Harcourt, Nigeria na kuhudhuriwa na ma-star mbalimbali.

 unnamed
 Licha ya harusi hiyo kuhudhuriwa na watu wengi maarufu lakini pia ilioneshwa live na kituo cha runinga cha HIP TV ambacho kinaonekana kupitia DSTV.









No comments: