DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Wednesday, March 26, 2014

Ile video iliyo wakutanisaha wasanii 19 kutoka Afrika wakiwemo AY na Diamond kutoka March 31

d65b88e4a6e311e38b4f1280e484f25a_8 


Ile video iliyokua ukisubiliwa kwa hamu, iliyojumuisha wasanii wakubwa 19 kutoka pande mbalimbali za Afika na kufanyika huko nchini Afrika Kusini itatoka rasmi Tarehe 31 ya mwezi huu. Wasanii kutoka Tanzania waliotuwakilisha katika video hiyo ni AY na Diamond Platnumz.
Mastar wengine ni Victoria Kimani,DBanji wa Nigeria,Vusi Nova South Africa,Femi Kuti Nigeria na Wengine wengi. Walioandaa ni Project hiyo ni shirika la One, huku lengo kubwa la kuwakusanya wasanii hao likuwa ni kuandaa wimbo mmoja ambao kupinga njaa katika bara la Afrika.


No comments: