
Man Water amesema kuwa, Wazo hili limekuja baada ya kuona kuwa kuna vipaji vingi vya muziki kutoka mikoani ambavyo havipati nafasi ya kusikika wala kurekodi kazi zao na wala nafasi ya kusafiri mpaka jijini Dar ambapo huduma hii inapatikana kwa wingi na ubora zaidi.
Man Water amesema kuwa, wazo hili ambalo yupo katika mchakato wa kulishughulikia litazingatia mahitaji yote ya watu ambao analenga kuwafikia, ikiwepo bei chee za kurekodi muziki, na hapa anasema mwenyewe.
No comments:
Post a Comment