DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Wednesday, September 25, 2013

Prezzo Akana Madai Ya kumpiga Afisa Wa Swiss

prezzodenies 
Rapper Prezzo kutoka Kenya amekataa madai ya kuhusika katika ugomvi wa kumpiga Afisa wa swiss ndani ya night club moja weekend iliyopita, haya ndio mananeno aliyotoa rapper huyo, alivyohojiwa na Pulse …  “I don’t fight. I was not in any club fight. I know nothing about club gunshots. That is news to me.” Rapper huyo inasemakana alikua katika Party ya  Skyluxx White Party, wakati ugomvi huo ulipotokea.

No comments: