Ni kupitia kwa show ya mtangazaji Mzazi Willy M. Tuva wa Citizen
Radio, yaani WAKILISHA EA ambae leo atakuwa na show maalum kwa ajili ya
wahanga wa tukio la kituo cha biashara cha WestGate …itakayofahamika
kama ‘East Africa We Are One’
Willy ata-dedicate show hiyo ambayo huwakutanisha wasanii wakubwa
kutoka Afrika Mashariki akiwemo MwanaFA, AY, Hussein Machozi na wengineo
na mashabiki wao ikiwemo kuzindua videos zao mpya katika maeneo ya
Tribeka’s Beka Lounge (opposite Nation Centre) kila siku ya jumanne
kuanzia saa 11 jioni.
‘East Africa We Are One’ itakuwa na msaniii wa gospel kutoka Uganda, Ambassada na Jua Cali amabo wameshatangaza kuwepo … watu wanaruhusiwa kufika na bendera za Kenya au zinazowakilisha Afrika Mashariki kuonesha umoja na kujiunga na wahanga wa tukio hilo.
‘East Africa We Are One’ itakuwa na msaniii wa gospel kutoka Uganda, Ambassada na Jua Cali amabo wameshatangaza kuwepo … watu wanaruhusiwa kufika na bendera za Kenya au zinazowakilisha Afrika Mashariki kuonesha umoja na kujiunga na wahanga wa tukio hilo.
No comments:
Post a Comment