Ney Wa Mitego afikishwa
katika kituo cha Polisi leo … Inasemekana sababu ya yeye kuswekwa
lupango ni kutokana na mavazi yaliyotumika katika utengenezaji wa video
ya wimbo wake ujulikanao kama “Salam Zao”…
Ney Wa Mitego amejikuta matatani kutokana na kutumika kwa Gwanda hizo ambazo polisi wamedai kuwa msanii huyo inabidi aonyeshe kibali na aelezee amekipata wapi, mpaka akachukua hatua ya kutumia gwanda za polisi kwa ajili ya kuchukulia video ya wimbo huo….
Ney Wa Mitego amejikuta matatani kutokana na kutumika kwa Gwanda hizo ambazo polisi wamedai kuwa msanii huyo inabidi aonyeshe kibali na aelezee amekipata wapi, mpaka akachukua hatua ya kutumia gwanda za polisi kwa ajili ya kuchukulia video ya wimbo huo….
No comments:
Post a Comment