
Taarifa hii inaweka wazi pia kuwa, Chameleone pia ameruhusu DJ wake kuendelea kutumia nyimbo ambazo alikuwa amefanya na msanii huyu kama kolabo, na hii ni baada ya kuzisimamisha kwa muda wote ambao walikuwa hawapo vizuri.
Kubadili mawazo kwa msanii huyu kunatajwa kuwa ni baada ya hatua ya mtoto wa Papa Cindy anayefahamika kwa jina Ryan kumfuata Chameleone na kumuomba amsamehe baba yake, kitu ambacho msanii huyu aliguswa nacho na kukitelekeza.
No comments:
Post a Comment