DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Sunday, November 3, 2013

(PICHA) ~ P.SQUARE WAMEWEKA FURNITURE ZA DHAHABU NYUMBANI KWAO?
























 
Wanandugu wawili ambao ni mapacha Peter Okoye na Paul Okoye, leo hii wameushangaza ulimwengu mara baada ya picha zao wakiwa kwenye sebule na dinning room iliyonakshiwa na dhahabu kwenye samani zake kuzagaa mitandaoni huku zikisindikizwa na maneno yenye kujiamini ndani yake.


4eb1c8da43d911e3bc6522000ae91414_8 
 
4eb1c8da43d911e3bc6522000ae91414_8 
 Maneno kama:-‘Goldenworld #blessed.’, ‘#2kings…… Work hard,play harder.’ na ‘A king in my own world…. #Blessed.’ yalitumika kusindikiza picha hizo wakiwa kwenye pozi tofauti tofauti.
 
8300d71043da11e399e522000a9e28c4_8 
 
 
7493d06843dc11e3a21b22000ae913ab_8 
 Kama kweli mng’o unaoonekana kwenye vitu hivi vyote ni dhahabu, basi hakuna sababu kuna kila sababu ya kuwaita wafalme wa mziki Africa kutokana na thamani ya pesa waliyotumia kutengeneza samani hizi.

 

No comments: