Bob Junior aliandika “SIJAONA HAKI/SABABU YA HIZI NYIMBO KUONDOLEWA NA BASATA @juma_jux #uzuri wako @snuramushi #nimevurugwa @madeeali #temamate Wasanii ndo tunatunga nyimbo ziendanazo na globallaization kwan vijana wanapenda kutuona tofauti kama niivyo wawe wana tutungia wenyewe nyimbo kwasababu wanao chambua nyimbo ni wazee wanachotaka nass tuwe wazee”
Siku ya juzi ikiwa ni masaa machache tu baada ya uamuzi huo kutangazwa na BASATA Diamond alifunguka na kusema “Ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na vizazi vyetu pendwa, nafikiri ni vyema tungeanza kuzuia Video na nyimbo za kutoka nje, kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake Haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje… Hii ni sawa na kuzidi kuukuza mziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu… Will the target of reaching our goals ever be achieved?? #Ni_Mtazamo_tu.”
No comments:
Post a Comment