Vijana wanne wanaunda Mkubwa Na Wanae Band Aslay, Maromboso, Becka 1 na
Bella kwa sasa wanatamba na kibao chao cha “Ya Moto” wamekuwa gumzo kwa
mtaani.
Kwa sasa kila mtu anawatambua kutokana na kazi nzuri wanazozitoa day to day ila tatizo limekuja kuwa wakali hao wamekuwa mwiba mtaani kwa mademu kutokana na umaarufu wao, mwandishi wa BK alivyozipata habari hizo alifanya kuwadodosa wakali hao na kusema.
Kwa sasa kila mtu anawatambua kutokana na kazi nzuri wanazozitoa day to day ila tatizo limekuja kuwa wakali hao wamekuwa mwiba mtaani kwa mademu kutokana na umaarufu wao, mwandishi wa BK alivyozipata habari hizo alifanya kuwadodosa wakali hao na kusema.
“Kwanza walimshutumu Aslay kwamba alipata demu tulipoenda kufanya
show Mtwara sisi tunakanusha madai hayo na sio kweli kwani kule
tulienda kikazi tu na sio kwa ajili ya mapenzi wengi wametushutumu
kuhusu hilo, ila ikifika wakati wa hayo mambo si tutawaambia kwani
lazima tufikie hatua hiyo.”
Hivi karibuni wanatarajia ku-release single yao mpya inayoelezea tuzo
ya mapenzi amepewe nanii ianayokwenda kwa jina la “APEWE NANI”.
No comments:
Post a Comment