DJ BOSTON-ON BEAT U KNOW WAT IT IS!!!

Wednesday, March 26, 2014

Ditto awapa somo Wasanii

 

 Msanii wa muziki Lameck Ditto, ametoa ushauri wa bure kwa wasanii wenzake kujaribu kuangalia namna ambavyo wanaweza kutumia vipato wanavyotengeneza katika muziki, kuwekeza katika miradi na shughuli mbalimbali, na kuacha kuendekeza starehe.



Ditto amesema kuwa, kwa hulka yake binafsi anaona kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kuwekeza na kuongeza njia za vipato, ambapo yeye binafsi amekwishaanza kuonyesha mfano kwa kujishughulisha na kilimo pamoja na shughuli nyingine ambazo zinamsaidia kuendesha maisha yake vizuri.
Huyu hapa Ditto mwenyewe akimwaga somo hili kali kwa wenzake;

No comments: